RAYVANNY

- Mwambieni Lyrics (Feat. Mac Voice) / with translations

Mwambieni lyrics English translation
Letra de Mwambieni en traducción al Español
Paroles de Mwambieni traduction Française
Letra de Mwambieni tradução Portuguesa
Mwambieni songtexte Deutsche Übersetzung
Testo di Mwambieni tradotto in Italiano
Mwambieniの歌詞 日本語訳
Mwambieni şarkı sözleri Türkçe çeviri
Текст песни Mwambieni на русском языке.
Tekst piosenki Mwambieni po polsku
Mwambieni 가사 한국어 번역
Mwambieni-tekst Norsk oversettelse
Lirik Mwambieni terjemahan bahasa Indonesia
Mwambieni गाने के बोल का हिंदी अनुवाद
Mwambieni songtekst Nederlandse vertaling
Στίχοι Mwambieni Ελληνική μετάφραση
Mwambieni-texten till Svensk översättning
เนื้อเพลง Mwambieni คำแปลภาษาไทย
كلمات أغنية Mwambieni مترجمة إلى اللغة العربية
Mwambieni歌詞中文翻譯
Iyo lizer
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi
Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Kwanza tuanze rangi yake
Ah! jamani ipo mwake
Natamani nione kopo lake
Amenunua wapi duka lake
Kisha tuje kwenye umbo lake ah!
Hapo lazima udate
Usije kutokwa mate
Mambo ya uturuki tuyaache
Maana mtoto kanawiri
Jaama! kumuacha uwe jasiri saana!
Nime shindwa kuwa bahiri
Mama! we nichune hadi kandambili
Sawa
Babe pose geuka freeze
Nipе tabasamu la picha cheese
You are so mwaaa!
You are so cutе
Kwako nime wehuka kabisa chizi
Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Leo nawatambulisha
Mliokuwa hamjui
Hapa ndo nimetika mwenzenu
Shemeji yenu huyo
Kwake najibebisha
Usiku asubuhi
Tongonza tongoza ama zangu ama zenu
Shemeji yenu huyo
Ye ndo tiba ya mwili
Mama anituliza akili…Jama
Ma Ex mtasubiri
Sanaaa
Kumuacha sitikiriii
Oooh! oh!
Pose Geuka Freeze
Nipe tabasamu la picha cheese
You are so mwaaaa!!!
You are so cute
Kwako nime wehuka kabisa chizi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Mwambieni
Nampenda
Bila yeye
Mi siwezi

Ati simtaji jina (Anajijua)
Fundi wa Raha zangu (Anajijua)
Kiboko yangu
Sio mpaka niseme
Yule nina mpenda sana (Anajijua)
Roho yangu
(Anajijua)
Mwenye moyo wangu (Anajijua)
Sio mpaka niseme

Watch Rayvanny Mwambieni feat Mac Voice video
Hottest Lyrics with Videos
0f25bd45fb4bbe070293ba26862f6738
these lyrics are submitted by gsba3

Official lyrics by
Rate Mwambieni by Rayvanny (current rating: 7.70)
12345678910

Meaning to "Mwambieni" song lyrics

captcha
Characters count : / 50
play youtube video
Mwambieni
Rayvanny
Latest Posts