RAYVANNY

- Mzuri Lyrics / with translations

Mzuri lyrics English translation
Letra de Mzuri en traducción al Español
Paroles de Mzuri traduction Française
Letra de Mzuri tradução Portuguesa
Mzuri songtexte Deutsche Übersetzung
Testo di Mzuri tradotto in Italiano
Mzuriの歌詞 日本語訳
Mzuri şarkı sözleri Türkçe çeviri
Текст песни Mzuri на русском языке.
Tekst piosenki Mzuri po polsku
Mzuri 가사 한국어 번역
Mzuri-tekst Norsk oversettelse
Lirik Mzuri terjemahan bahasa Indonesia
Mzuri गाने के बोल का हिंदी अनुवाद
Mzuri songtekst Nederlandse vertaling
Στίχοι Mzuri Ελληνική μετάφραση
Mzuri-texten till Svensk översättning
เนื้อเพลง Mzuri คำแปลภาษาไทย
كلمات أغنية Mzuri مترجمة إلى اللغة العربية
Mzuri歌詞中文翻譯
[Intro]
Uuh aih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo

[Verse 1]
Rangi ya chungwa mama chocolate
Viuno tanga manza bei
Black beaut ulosimama
Una nywele shombeshombe
Zanzibar cheichei
Umejaliwa nyama na huo mguu
Haki mungu hakosei
Mpka nikuone ndo nafanya
Usiwe na wasi mama wala mi sikuchezei
Najionea wivuu kukupata wewe my boo
Tabibuu dozi nipe tatatibuu

[Chorus]
Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Unavyoringa sasa sio shida zako hizo
Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Nakusifia ringa vimba kichwa kapulizo

[Refrain]
Ukicheza (mzuri mzuri)
Ukinuna (mzuri mzuri)
Ukiringa (mzuri mzuri)
Ata ukilia mzuri (ni mzuri tu)

[Verse 2]
Unasura ya kunywea winne
(Sura ya kunywea chai)
Uko soft una shine
(Camera haikukatai)
Unawakomesha shwaini
Levo zako hawakai
Wataiweza wapi rangi yako ya mtume
(Kwa roshen za mapapai)
Mmh we mtoto we we mtoto we
Wasije kuroga wenzako
Wapunguzir dozi utawaua
Sio kwa uzuri huo huo huo
We mtoto we we mtoto we
Unawatesa wenzako
Sio kwa hayo mapozi na kujishauwa
Unadamu ya nguo huo huo huo
Mama unaogopa nini mbona unaficha sura
Mama unaogopa nini mbona unageuka nyuma
Mama mbona mikono usoni ebu toa tukuone

[Chorus]
Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Unavyoringa sasa sio shida zako hizo
Uuh aiih mama
Jamani mbona we mzuri hvyo
Uuh aiih mama
Nakusifia ringa vimba kichwa kapulizo

[Refrain]
Ukicheza (mzuri mzuri)
Ukinuna (mzuri mzuri)
Ukiringa (mzuri mzuri)
Ata ukilia mzuri (ni mzuri tu)

[Verse 3]
Ule kimini juu nato toto
Unafanya nishindwe kuto totoka
Umetakata upo so sosoft
Unawateza si kito toto
Uchuchu aaaah iya iya iya
Mara upo nyonyo upo titi
Ata saraphina anajua hushikiki
Aiyy serious nimempenda
Nasema na simuachii

Watch Rayvanny Mzuri video
Hottest Lyrics with Videos
d3d4b5a2fdfb5e56797825573c721e43
these lyrics are submitted by gsba3

Official lyrics by
Rate Mzuri by Rayvanny (current rating: 5.25)
12345678910

Meaning to "Mzuri" song lyrics

captcha
Characters count : / 50
play youtube video
Mzuri
Rayvanny
Mzuri video Rayvanny twitter
Latest Posts