RAYVANNY

- Juu Lyrics (Feat. Young Lunya) / with translations

Juu lyrics English translation
Letra de Juu en traducción al Español
Paroles de Juu traduction Française
Letra de Juu tradução Portuguesa
Juu songtexte Deutsche Übersetzung
Testo di Juu tradotto in Italiano
Juuの歌詞 日本語訳
Juu şarkı sözleri Türkçe çeviri
Текст песни Juu на русском языке.
Tekst piosenki Juu po polsku
Juu 가사 한국어 번역
Juu-tekst Norsk oversettelse
Lirik Juu terjemahan bahasa Indonesia
Juu गाने के बोल का हिंदी अनुवाद
Juu songtekst Nederlandse vertaling
Στίχοι Juu Ελληνική μετάφραση
Juu-texten till Svensk översättning
เนื้อเพลง Juu คำแปลภาษาไทย
كلمات أغنية Juu مترجمة إلى اللغة العربية
Juu歌詞中文翻譯
(It's S2kizzy beiby)

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

- wanataka battle ila mi nawaweza
Hata kucompare
The rap heat na ndo zinazo tamba on air
King juu ya chain, dollar ju ya udone air
So ukiwasha moto so kiki wanajua wanakuchochea

Cause I've killing rappers kama nyinyi
Na sio peke yako labda uje na wenzako themanini
Maana mie peke yangu kama rappers mia
Na nyinyi sitini
So uje na rappers wote ambao wanabeef na mimi

Si funny huwa sichekagi na adui vitani
Mi na shetani akiskia beat ananipanda kichwani
Na mama zako siku zote wanadata na fani
Watachana ila kupendwa na mavijimama ndo sidhani
Na nata utanitaka, na ndio maana watoto wanadata
Ju skinny nanata swadakta na nyumbani ukiwa ndani utanipata
Ukinikata una cheese ya mambata
Sio uoga nguo -- tunamfuata
Utamu huwaga ndo utamu wa bata
Ulichokitaka ndo unachokipata sasa
Bitch!

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

Wanafosi tabasamu la kibosi
Kwenye sura za madeni
Kunichukia ni kuchemsha maji
Kovu la mpeni

Mi mambo ya basha, haya kenge mchicha nifuateni
Ghetto jipepee, Koffi Olomide hakuna feni
Nacheka na masnitch utasema siwajui jui
More money Gucci Prada Lui Lui
Hata anipe bure sinunui
V Vanny Boy Mr big name, chui chui

Mziki shule watoto walikimbia umande
Sasa unashindanisha pilau na makande
Nenda kawange ila bado utakaa upande
Naitwa Chui toka Wasafi kwenye ukoo wa Mzee Nyange

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

Watch Rayvanny Juu feat Young Lunya video

Facts about Juu

✔️

Who wrote Juu lyrics?


Juu is written by Young Lunya, Rayvanny.
Hottest Lyrics with Videos
3eca47b96f71d82d8adb6db3a5828541
these lyrics are submitted by gsba3
Songwriter(s): Young Lunya, Rayvanny

Official lyrics by
Rate Juu by Rayvanny (current rating: 7.82)
12345678910

Meaning to "Juu" song lyrics

captcha
Characters count : / 50
play youtube video
Juu
Rayvanny
Latest Posts