play youtube video
Chitaki
Diamond Platnumz

DIAMOND PLATNUMZ

- Chitaki Lyrics

We ndo kitumbua we ndo sambusa

Basi njoo unichum baby ndo tuseme umesusa

We ndo mwisho wa reli

Kwako nimeweka nukta

Walokwambia nala zuchu sio kweli wanazusha
Wanao kaa vikao sisi kutujudge

Wape pole yao wanatwanga maji

Nawaongeze bidii kwenye mlogaji

Tupo ten gb penzi full charge

Fanya wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kama unatupa

Yani wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kisha weka nukta

Mi kuachana na wewe aku!

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

Kuachana na wewe
Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

Mchana nikupe tango usiku ndizi swadakta

Tuanze fanya mambo kabla umeme hawajakata

Mapenzi mwenzie kiwango na umejariwa taranta
Na unanijua kwa jambo hatoki mtu kwa mkapa

Eeh! Aaah

Amuli chi chi chi

Amuli chacha chacha

Kamoyo ti ti ti nimeozaje sasa

Amuli chi chi chi

Amuli chacha chacha
Kamoyo ti ti ti nakuachaje sasa

Wanao kaa vikao sisi kutujudge

Wape pole yao wanatwanga maji

Nawaongeze bidii kwenye mlogaji

Tupo ten gb penzi full charge

Basi fanya

Fanya wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kama unatupa

Yani wainamaa wainukaa

Kiguu kinyanyue kisha weka nukta

Mi kuachana na wewe aku!

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

Kuachana na wewe

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki

Chitaki chitaki mi

Watch Diamond Platnumz Chitaki video
Hottest Lyrics with Videos
1df6895fb583c13b6b894b293775e18c

check amazon for Chitaki mp3 download
these lyrics are submitted by itunes3

Official lyrics by

Rate Chitaki by Diamond Platnumz (current rating: N/A)
12345678910

Meaning to "Chitaki" song lyrics

captcha
Characters count : / 50
Latest Posts