play youtube video
Wale
Orbit
Wale video Orbit twitter

ORBIT


Wale Lyrics

Yea! Yup, Yeah!
Unh..

Hook
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Hawataki ni shine (wale), Hawataki ni ball (wale)
Hawataki ni Grind (wale), Wanataka ni fall (wale)
(Skrrrrrrrrrrrraaah!!!!)
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Hawataki ni shine (wale), Hawataki ni ball (wale)
Hawataki ni Grind (wale), Wanataka ni fall (wale)

Verse 1
I hit' em up game ipoa let me heat it up
( heat it heat it)
I Put the drama out, wana midananda i just cut' em off
(Cut it cut it)
I dont need a map, i just need a mic and a couple of (A couple of what?)
Real niggas, japo fake niggas hawanipi hofu

God damn, nachana ki boss huwezi ku copy maana itaku cost
God damn, natimba kitozi nawapa mizinga na sinaa kikosi
God damn, kuvimba mikosi mnyamwezi sivimbi siringi si force
God damn, im doing the most yo mafanikio i know uko close
Yea!
Nimeoza nimepoa, nimeng'aza nawang'oa
Wanakaza natoboa, nawashangaza nawaboa
Nawapa ladha nawanoa, Siwaparazi nawanyoa
Na paparazzi wakizinguaaa, siweki wazi wanajua
Aye!
Na wanangu tuna flex tu, no guns no pistols
No lies means no ties and no time for a criss cross
Wa primary bado wana hate, Alinanale shumba nyeku
Hawajui wanani motivate chuki zao kwangu mi ni bless tu

Hook
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Hawataki ni shine (wale), Hawataki ni ball (wale)
Hawataki ni Grind (wale), Wanataka ni fall (wale)
(Skrrrrrrrrrrrraaah!!!!)
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Hawataki ni shine (wale), Hawataki ni ball (wale)
Hawataki ni Grind (wale), Wanataka ni fall (wale)

Verse 2
Wale wale wale wale, wanataka mi daily niwe pale pale
Wanataka nifeli nisiwe na muchele, nisiwe na machale, niwe chalechale
Lakini tatizo nimesanuka, fumba fumbua kimeshanuka
Nawasumbua wanarukaruka, ado ado yani sina pupa
Yo!
Ngoma kali sina chupa sina duka, sasa vipi nitauza sura
Pamba kali mi hunyuka, oya njuka usije dhani natafuta chura
Pombe kali kwa mizuka shusha chupa kama zote tuzeeshe sura
Sivuti mjani wala shuka mi huvuta dough, nyumbani waweze kula
Aye!
Mimi na trap, ( mimi na trap)
Chemistry kama Roma na Staminah (aye)
Im living my life, (living my life)
Wachawi namwaga namimina (aye)
I dont give a what, (dont give a what)
Kila siku i'll turning up (aye)
Kwa kila kitu mi ni zaidi yao (aye)
Modeli mupya sio dizaini yao (aye aye aaaye)
Bongo sijampata wa kunipata kwa flow, labda kweny battle nipewe casper
Dompo tupeni tusker nipeni faster, n'na flow kali zinakata wapeni plaster
Madogo niiteni brother mnanifuata, nawaka pembeni fanta niiteni rasta
Madongo tupeni hapa mnatoka kapa, n'napata ninacho kifuata niiteni hustler
Ouuh!!

Hook
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Hawataki ni shine (wale), Hawataki ni ball (wale)
Hawataki ni Grind (wale), Wanataka ni fall (wale)
(Skrrrrrrrrrrrraaah!!!!)
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Wale wale wale wale, Wale wale wale waaaale
Hawataki ni shine (wale), Hawataki ni ball (wale)
Hawataki ni Grind (wale), Wanataka ni fall (wale)

Watch Orbit Wale video
Hottest Lyrics with Videos
558341fbda39ffbbd6737ccd7c02cfb0

check amazon for Wale mp3 download
these lyrics are submitted by itunes3
Songwriter(s): Orbit Makaveli
Record Label(s): 2020 Orbit
Official lyrics by

Rate Wale by Orbit (current rating: 6.75)
12345678910
Meaning to "Wale" song lyrics
captcha
Characters count : / 50
Latest Posts